1 Corinthians 1:10

Mgawanyiko Ndani Ya Kanisa

10 aNawasihi ndugu zangu, katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano katikati yenu na kwamba mwe na umoja kikamilifu katika nia na katika kusudi.
Copyright information for SwhNEN